Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 2:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana tumesikia jinsi Mwenyezi-Mungu alivyoyakausha maji ya bahari ya Shamu mbele yenu mlipotoka nchi ya Misri, na jinsi mlivyowatendea wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ngambo ya mto Yordani, yaani Sihoni na Ogu, ambao mliwaangamiza kabisa.

Kusoma sura kamili Yoshua 2

Mtazamo Yoshua 2:10 katika mazingira