Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 19:23-25 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Hizo ndizo sehemu zilizopewa koo za kabila la Isakari; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

24. Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.

25. Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Helkathi, Hali, Beteni, Akshafi,

Kusoma sura kamili Yoshua 19