18. Eneo lenyewe lilikuwa na miji ya Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
19. Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
20. Rabithi, Kishioni, Ebesi,
21. Remethi, En-ganimu, En-hada na Beth-pasesi.
22. Kadhalika, mpaka wao ulifika Tabori, Shahasuma, Beth-shemeshi na kuishia kwenye mto Yordani. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na sita pamoja na vijiji vyake.
23. Hizo ndizo sehemu zilizopewa koo za kabila la Isakari; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.
24. Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.