16. Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.
17. Kura ya nne ilizipata koo za kabila la Isakari.
18. Eneo lenyewe lilikuwa na miji ya Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
19. Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
20. Rabithi, Kishioni, Ebesi,