Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 19:14-17 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Upande wa kaskazini mpaka uligeuka kuelekea Hanathoni na kuishia kwenye bonde la Yiftaheli.

15. Ukajumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Yidala na Bethlehemu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

16. Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

17. Kura ya nne ilizipata koo za kabila la Isakari.

Kusoma sura kamili Yoshua 19