1. Kura ya pili ilizipata koo za kabila la Simeoni na sehemu yao ya nchi ilikuwa imezungukwa na ile ya kabila la Yuda.
2. Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada
3. Hasar-shuali, Bala, Esemu,
4. Eltoladi, Bethuli, Horma,
5. Siklagi, Beth-markabothi, Hasar-susa,
6. Beth-lebaothi na Sharuheni. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
7. Pia kulikuwa na miji ya En-rimoni, Etheri, na Ashani. Jumla ya miji waliyopewa ni minne pamoja na vijiji vyake.