Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 19:1-7 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kura ya pili ilizipata koo za kabila la Simeoni na sehemu yao ya nchi ilikuwa imezungukwa na ile ya kabila la Yuda.

2. Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

3. Hasar-shuali, Bala, Esemu,

4. Eltoladi, Bethuli, Horma,

5. Siklagi, Beth-markabothi, Hasar-susa,

6. Beth-lebaothi na Sharuheni. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.

7. Pia kulikuwa na miji ya En-rimoni, Etheri, na Ashani. Jumla ya miji waliyopewa ni minne pamoja na vijiji vyake.

Kusoma sura kamili Yoshua 19