Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 19:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kura ya pili ilizipata koo za kabila la Simeoni na sehemu yao ya nchi ilikuwa imezungukwa na ile ya kabila la Yuda.

2. Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

3. Hasar-shuali, Bala, Esemu,

4. Eltoladi, Bethuli, Horma,

Kusoma sura kamili Yoshua 19