Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 18:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, watu hao wakaanza safari ya kwenda kuichunguza nchi. Kabla hawajaenda, Yoshua akawapa maagizo: “Nendeni nchini kote mkaandike maelezo kamili juu ya hiyo nchi, kisha mrudi mnieleze, nami nitapiga kura mbele ya Mwenyezi-Mungu hapa hapa Shilo kuhusu sehemu mtakayopewa.”

Kusoma sura kamili Yoshua 18

Mtazamo Yoshua 18:8 katika mazingira