Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 17:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Wengine waliobaki wa kabila la Manase walipewa sehemu yao kwa kura kulingana na koo zao. Koo hizo zilikuwa zile za Abiezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi na Shemida ambao wote walikuwa wazawa wa kiume wa Manase mwana wa Yosefu.

Kusoma sura kamili Yoshua 17

Mtazamo Yoshua 17:2 katika mazingira