Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:55-61 Biblia Habari Njema (BHN)

55. Pia walipewa miji ya Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

56. Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,

57. Kaini, Gibea na Timna. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi pamoja na vijiji vyake.

58. Vilevile miji ya Halhuli, Beth-suri, Gedori,

59. Maarathi, Beth-anothi na Eltekoni. Jumla ya miji waliyopewa ni sita pamoja na vijiji vyake.

60. Kadhalika walipewa Kiriath-baali, uitwao pia Kiriath-yearimu, na Raba. Jumla ya miji waliyopewa ni miwili pamoja na vijiji vyake.

61. Miji ya nyikani ilikuwa Beth-araba, Midini, Sekaka,

Kusoma sura kamili Yoshua 15