Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:51-60 Biblia Habari Njema (BHN)

51. Gosheni, Holoni na Gilo. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na mmoja pamoja na vijiji vyake.

52. Walipewa pia miji ya Arabu, Duma, Eshani,

53. Yanimu, Beth-tapua, Afeka,

54. Humta, Kiriath-arba (yaani Hebroni) na Siori. Jumla ya miji waliyopewa ni tisa pamoja na vijiji vyake.

55. Pia walipewa miji ya Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

56. Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,

57. Kaini, Gibea na Timna. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi pamoja na vijiji vyake.

58. Vilevile miji ya Halhuli, Beth-suri, Gedori,

59. Maarathi, Beth-anothi na Eltekoni. Jumla ya miji waliyopewa ni sita pamoja na vijiji vyake.

60. Kadhalika walipewa Kiriath-baali, uitwao pia Kiriath-yearimu, na Raba. Jumla ya miji waliyopewa ni miwili pamoja na vijiji vyake.

Kusoma sura kamili Yoshua 15