Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:48-55 Biblia Habari Njema (BHN)

48. Miji iliyokuwa kwenye eneo la milimani ni Shamiri, Yatiri, Soko,

49. Dana, Kiriath-sana (yaani Debiri),

50. Anabu, Eshtemoa, Animu,

51. Gosheni, Holoni na Gilo. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na mmoja pamoja na vijiji vyake.

52. Walipewa pia miji ya Arabu, Duma, Eshani,

53. Yanimu, Beth-tapua, Afeka,

54. Humta, Kiriath-arba (yaani Hebroni) na Siori. Jumla ya miji waliyopewa ni tisa pamoja na vijiji vyake.

55. Pia walipewa miji ya Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,

Kusoma sura kamili Yoshua 15