Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:45-50 Biblia Habari Njema (BHN)

45. Vilevile walipewa Ekroni pamoja na miji yake midogo na vijiji,

46. miji yote na vijiji vilivyokuwa karibu na Ashdodi kati ya Ekroni na bahari,

47. Ashdodi na Gaza pamoja na miji na vijiji vyake, mpaka kijito cha Misri hadi pwani ya bahari ya Mediteranea.

48. Miji iliyokuwa kwenye eneo la milimani ni Shamiri, Yatiri, Soko,

49. Dana, Kiriath-sana (yaani Debiri),

50. Anabu, Eshtemoa, Animu,

Kusoma sura kamili Yoshua 15