Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:35-44 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

36. Shaaraimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake.

37. Walipewa pia miji ya Senani, Hadasha, Migdal-gadi,

38. Dileani, Mizpa, Yoktheeli,

39. Lakishi, Boskathi, Egloni,

40. Kaboni, Lahmamu, Kithlishi,

41. Gederothi, Beth-dagoni, Naama na Makeda. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na sita pamoja na vijiji vyake.

42. Tena walipewa miji ya Libna, Etheri, Ashani,

43. Yifta, Ashna, Nezibu,

44. Keila, Akzibu na Maresha. Jumla ya miji waliyopewa ni tisa pamoja na vijiji vyake.

Kusoma sura kamili Yoshua 15