Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:33-43 Biblia Habari Njema (BHN)

33. Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

34. Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu,

35. Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

36. Shaaraimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake.

37. Walipewa pia miji ya Senani, Hadasha, Migdal-gadi,

38. Dileani, Mizpa, Yoktheeli,

39. Lakishi, Boskathi, Egloni,

40. Kaboni, Lahmamu, Kithlishi,

41. Gederothi, Beth-dagoni, Naama na Makeda. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na sita pamoja na vijiji vyake.

42. Tena walipewa miji ya Libna, Etheri, Ashani,

43. Yifta, Ashna, Nezibu,

Kusoma sura kamili Yoshua 15