33. Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,
34. Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu,
35. Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36. Shaaraimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake.
37. Walipewa pia miji ya Senani, Hadasha, Migdal-gadi,
38. Dileani, Mizpa, Yoktheeli,
39. Lakishi, Boskathi, Egloni,