Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:31-45 Biblia Habari Njema (BHN)

31. Siklagi, Madmana, Sansana,

32. Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni. Jumla ya miji waliyopewa ni ishirini na tisa pamoja na vijiji vyake.

33. Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

34. Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu,

35. Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

36. Shaaraimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake.

37. Walipewa pia miji ya Senani, Hadasha, Migdal-gadi,

38. Dileani, Mizpa, Yoktheeli,

39. Lakishi, Boskathi, Egloni,

40. Kaboni, Lahmamu, Kithlishi,

41. Gederothi, Beth-dagoni, Naama na Makeda. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na sita pamoja na vijiji vyake.

42. Tena walipewa miji ya Libna, Etheri, Ashani,

43. Yifta, Ashna, Nezibu,

44. Keila, Akzibu na Maresha. Jumla ya miji waliyopewa ni tisa pamoja na vijiji vyake.

45. Vilevile walipewa Ekroni pamoja na miji yake midogo na vijiji,

Kusoma sura kamili Yoshua 15