29. Baala, Iyimu, Ezemu,
30. Eltoladi, Kesili, Horma,
31. Siklagi, Madmana, Sansana,
32. Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni. Jumla ya miji waliyopewa ni ishirini na tisa pamoja na vijiji vyake.
33. Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,
34. Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu,
35. Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36. Shaaraimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake.
37. Walipewa pia miji ya Senani, Hadasha, Migdal-gadi,
38. Dileani, Mizpa, Yoktheeli,
39. Lakishi, Boskathi, Egloni,
40. Kaboni, Lahmamu, Kithlishi,
41. Gederothi, Beth-dagoni, Naama na Makeda. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na sita pamoja na vijiji vyake.
42. Tena walipewa miji ya Libna, Etheri, Ashani,
43. Yifta, Ashna, Nezibu,