Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:20-27 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Hii ndiyo nchi waliyopewa watu wa kabila la Yuda kulingana na koo zake.

21. Miji iliyokuwa upande wa kusini kabisa wa nchi ya Yuda kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,

22. Kina, Dimona, Adada,

23. Kedeshi, Hazori, Ithnani,

24. Zifu, Telemu, Bealothi,

25. Hazor-hadata, Kerioth-hezroni (yaani Hazori),

26. Amamu, Shema, Molada,

27. Hasar-gada, Heshmoni, Beth-peleti,

Kusoma sura kamili Yoshua 15