19. Aksa akamjibu, “Nipe zawadi; nipe sehemu yenye maji kwa kuwa huko Negebu ulikonipa ni kukavu.” Basi, Kalebu akampa chemchemi za maji zilizokuwa kwenye nyanda za juu na za chini.
20. Hii ndiyo nchi waliyopewa watu wa kabila la Yuda kulingana na koo zake.
21. Miji iliyokuwa upande wa kusini kabisa wa nchi ya Yuda kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,
22. Kina, Dimona, Adada,
23. Kedeshi, Hazori, Ithnani,
24. Zifu, Telemu, Bealothi,