Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Eneo la nchi waliyopewa kwa kura watu wa kabila la Yuda kulingana na jamaa zake lilienea tangu kusini-mashariki hadi mpakani mwa Edomu. Sehemu ya kusini kabisa ilikuwa jangwa la Sini.

2. Mpaka wao upande wa kusini ulianza pembe ya kusini ya Bahari ya Chumvi,

3. ukaendelea kusini hadi mwinuko wa Akrabimu, ukapitia kando ya Sini, na kusini ya Kadesh-barnea, ukipitia Hesroni hadi Adari na kisha ukageuka kuelekea Karka.

Kusoma sura kamili Yoshua 15