Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja watu wa kabila la Yuda walimwendea Yoshua huko Gilgali. Kalebu mwana wa Yefune, ambaye alikuwa Mkenizi, akamwambia Yoshua, “Bila shaka unakumbuka jinsi Mwenyezi-Mungu alivyomwambia Mose, mtu wa Mungu, juu yangu na wewe tulipokuwa Kadesh-barnea:

Kusoma sura kamili Yoshua 14

Mtazamo Yoshua 14:6 katika mazingira