Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

pia eneo la milima iliyo kati ya Lebanoni na Misrefoth-maimu ambayo wakazi wake ni Wasidoni. Kadiri Waisraeli watakavyoendelea katika nchi hizo, mimi mwenyewe nitayafukuza mataifa hayo mbele yao. Nawe utawagawia Waisraeli sehemu mbalimbali za nchi hizo kwa kura kama nilivyokuamuru.

Kusoma sura kamili Yoshua 13

Mtazamo Yoshua 13:6 katika mazingira