Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 12:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Nchi hizo zilikuwa pamoja na maeneo ya milima, nchi tambarare, eneo la Araba, miteremko ya milima, maeneo ya nyika, na eneo la Negebu; nchi zilizokuwa za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

Kusoma sura kamili Yoshua 12

Mtazamo Yoshua 12:8 katika mazingira