Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 12:18-24 Biblia Habari Njema (BHN)

18. mfalme wa Afeka, mfalme wa Lasharoni,

19. mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,

20. mfalme wa Shimron-meroni, mfalme wa Akshafi,

21. mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,

22. mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Yokneamu mji ulioko kwenye mlima Karmeli,

23. mfalme wa Dori katika mkoa wa Nafath-dori, mfalme wa Goiimu huko Gilgali na

24. mfalme wa Tirza. Jumla ya wafalme hao ni thelathini na mmoja.

Kusoma sura kamili Yoshua 12