Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 12:15-24 Biblia Habari Njema (BHN)

15. mfalme wa Libna, mfalme wa Adulamu,

16. mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,

17. mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,

18. mfalme wa Afeka, mfalme wa Lasharoni,

19. mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,

20. mfalme wa Shimron-meroni, mfalme wa Akshafi,

21. mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,

22. mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Yokneamu mji ulioko kwenye mlima Karmeli,

23. mfalme wa Dori katika mkoa wa Nafath-dori, mfalme wa Goiimu huko Gilgali na

24. mfalme wa Tirza. Jumla ya wafalme hao ni thelathini na mmoja.

Kusoma sura kamili Yoshua 12