Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 11:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua, “Usiwaogope hao, maana kesho, wakati kama huu, nitawaangamiza wote kwa kuwatia mikononi mwa Waisraeli; nanyi mtakata mishipa ya farasi wao na kuteketeza magari yao kwa moto.”

Kusoma sura kamili Yoshua 11

Mtazamo Yoshua 11:6 katika mazingira