Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 10:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akautia mji huo pamoja na mfalme wao mikononi mwa Waisraeli, wakawaua wakazi wake bila kumbakiza hata mtu mmoja. Walimtendea mfalme wa Libna kama walivyomtendea mfalme wa Yeriko.

Kusoma sura kamili Yoshua 10

Mtazamo Yoshua 10:30 katika mazingira