Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 10:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini nyinyi msikae huko, bali muwafuatie adui zenu. Muwapige kutoka upande wa nyuma, wala musiwaache waingie mijini mwao, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, amewatia mikononi mwenu.”

Kusoma sura kamili Yoshua 10

Mtazamo Yoshua 10:19 katika mazingira