Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 1:9-11 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Kumbuka kuwa mimi nimekuamuru uwe imara na hodari. Usiogope wala usifadhaike kwa kuwa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niko pamoja nawe popote uendapo.”

10. Kisha Yoshua akawaamuru viongozi wa watu,

11. “Piteni katika kambi na kuwaamrisha watu watayarishe chakula, kwa kuwa baada ya siku tatu mtavuka mto Yordani, kwenda kuimiliki nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu anawapeni iwe mali yenu.”

Kusoma sura kamili Yoshua 1