Agano la Kale

Agano Jipya

Yona 1:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakamlilia Mwenyezi-Mungu wakisema, “Ee Mwenyezi-Mungu, twakusihi usituangamize kwa kuutoa uhai wa mtu huyu, wala usitupatilize kwa kumwaga damu ya mtu asiye na hatia. Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, umefanya upendavyo.”

Kusoma sura kamili Yona 1

Mtazamo Yona 1:14 katika mazingira