Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 9:22-26 Biblia Habari Njema (BHN)

22. Yote ni mamoja, kwa hiyo nasema;Mungu huwaangamiza wema na waovu.

23. Maafa yaletapo kifo cha ghafla,huchekelea balaa la wasio na hatia.

24. Nchi ikitiwa watu waovu katika utawala wa mwovu,Mungu huyafumba macho ya mahakimu wake!Kama si yeye afanyaye hivyo, ni nani basi?

25. “Siku zangu zaenda mbio kuliko mpiga mbio;zinakimbia bila kuona faida.

26. Zapita kasi kama mashua ya matete;kama tai anayerukia mawindo yake.

Kusoma sura kamili Yobu 9