1. Kisha Yobu akajibu:
2. “Kweli najua hivyo ndivyo ilivyo.Lakini mtu awezaje kuwa mwema mbele ya Mungu?
3. Kama mtu angethubutu kushindana naye,hataweza kufika mbali;hata kujibu swali moja kati ya elfu.
4. Yeye ni mwenye hekima mno na nguvu nyingi,nani aliyepingana naye, akashinda?
5. Yeye huiondoa milima bila yenyewe kutambua,huibomolea mbali kwa hasira yake.