Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 8:4-8 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Kama watoto wako wamemkosea Mungu,yeye amewalipiza matokeo ya uhalifu wao.

5. Kama utamtafuta Munguukamsihi huyo Mungu mwenye nguvu,

6. kama wewe u safi moyoni na mnyofu,kweli Mungu atakuja kukusaidia,na kukujalia makao unayostahili.

7. Na ingawa ulianza kuishi kwa unyongemaisha yako ya baadaye yatakuwa ya fahari zaidi.

8. Jifunze tafadhali kwa wale waliotutangulia,zingatia mambo waliyogundua hao wazee.

Kusoma sura kamili Yobu 8