Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 8:19-22 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Tazama, huo ndio mwisho wa furaha ya mtu huyo,na mahali pao patachipua wengine.

20. “Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia,wala kuwasaidia waovu.

21. Ila atakijaza kinywa chako kicheko,na midomo yako sauti ya furaha.

22. Wale wakuchukiao wataingiwa na aibu,makao ya waovu yatatoweka kabisa.”

Kusoma sura kamili Yobu 8