14. Tegemeo lao huvunjikavunjika,tumaini lao ni utando wa buibui.
15. Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama,huishikilia lakini haidumu.
16. Jua litokapo yeye hustawi;hueneza matawi yake bustanini mwake.
17. Mizizi yake hujisokotasokota kwenye mawenaye aenda kuchunguza ndani ya mwamba.
18. Lakini akiangamizwa kutoka makao yake,hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’
19. Tazama, huo ndio mwisho wa furaha ya mtu huyo,na mahali pao patachipua wengine.
20. “Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia,wala kuwasaidia waovu.