Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 8:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ndipo Bildadi, Mshuhi, akamjibu Yobu:

2. “Utasema mambo haya mpaka lini?Mpaka lini maneno yako yatakuwa matupu kama upepo?

3. Kwani, wadhani Mungu hupotosha haki?Au, je, Mungu Mwenye Nguvu hupotosha ukweli?

Kusoma sura kamili Yobu 8