Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 6:19-21 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Misafara ya Tema hutafuta tafuta,wasafiri wa Sheba hutumaini.

20. Huchukizwa kwa kutumaini bure,hufika kwenye vijito hivyo na kuudhika.

21. Nyinyi mmekuwa kama vijito hivyo,mwaona balaa yangu na kuogopa.

Kusoma sura kamili Yobu 6