Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 6:15-18 Biblia Habari Njema (BHN)

15. Rafiki zangu wamenidanganya kama kijito,wamenihadaa kama mitaro isiyo na maji.

16. Ambayo imejaa barafu,na theluji imejificha ndani yake.

17. Lakini wakati wa joto hutoweka,wakati wa hari hubaki mito mikavu.

18. Misafara hupotea njia wakitafuta maji,hupanda nyikani na kufia huko.

Kusoma sura kamili Yobu 6