Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 6:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Yobu akamjibu Elifazi:

2. “Laiti mahangaiko yangu yangepimwa uzani wake,mateso yangu yote yakawekwa katika mizani!

3. Yangekuwa mazito kuliko mchanga wa pwani.Ndio maana maneno yangu ni ya kuropoka!

Kusoma sura kamili Yobu 6