Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 40:22-25 Biblia Habari Njema (BHN)

22. Hujisitiri katika vivuli vya vichaka vya miibana vya miti iotayo kando ya vijito.

23. Mto ukifurika haliogopi,halitishiki hata mto Yordani ukilifurikia kinywani.

24. Nani awezaye kuliziba macho na kuliteka?Nani awezaye kulitoboa pua kwa mtego?

25. Je, waweza kuvua dude Lewiyathani kwa ndoana,au kuufunga ulimi wake kwa kamba?

Kusoma sura kamili Yobu 40