7. Hujitenga kabisa na makelele ya miji,hasikilizi kelele ya kumfanyisha kazi.
8. Hutembeatembea milimani kupata malisho,na kutafuta chochote kilicho kibichi.
9. “Je, nyati atakubali kukutumikia?Au je, atakubali kulala zizini mwako?
10. Je, waweza kumfunga nyati kamba kulima shamba,au avute jembe la kulimia?