Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 39:5-9 Biblia Habari Njema (BHN)

5. “Nani aliyemwacha huru pundamwitu?Nani aliyewaacha waende kwa kuwafungua?

6. Mimi niliwapa jangwa liwe makao yao,mbuga zenye chumvi kuwa makazi yao.

7. Hujitenga kabisa na makelele ya miji,hasikilizi kelele ya kumfanyisha kazi.

8. Hutembeatembea milimani kupata malisho,na kutafuta chochote kilicho kibichi.

9. “Je, nyati atakubali kukutumikia?Au je, atakubali kulala zizini mwako?

Kusoma sura kamili Yobu 39