14. Mbuni huyaacha mayai yake juu ya ardhiili yapate joto mchangani;
15. lakini hajui kama yanaweza kukanyagwa,au kuvunjwa na mnyama wa porini.
16. Mbuni huwatendea wanawe ukatili kama si wake,hata kazi yake ikiharibika yeye hana wasiwasi;
17. kwa sababu nilimfanya asahau hekima yake,wala sikumpa sehemu yoyote ya akili.