Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 39:14-17 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Mbuni huyaacha mayai yake juu ya ardhiili yapate joto mchangani;

15. lakini hajui kama yanaweza kukanyagwa,au kuvunjwa na mnyama wa porini.

16. Mbuni huwatendea wanawe ukatili kama si wake,hata kazi yake ikiharibika yeye hana wasiwasi;

17. kwa sababu nilimfanya asahau hekima yake,wala sikumpa sehemu yoyote ya akili.

Kusoma sura kamili Yobu 39