Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 39:12-15 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Je, wamtazamia nyati akuvunie mavuno yako,na kuleta nafaka mahali pa kupuria?

13. “Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa madaha,lakini hawezi kuruka kama korongo.

14. Mbuni huyaacha mayai yake juu ya ardhiili yapate joto mchangani;

15. lakini hajui kama yanaweza kukanyagwa,au kuvunjwa na mnyama wa porini.

Kusoma sura kamili Yobu 39