22. Mngao mzuri hutokea kaskazini;Mungu amezungukwa na utukufu wa kutisha.
23. Mungu Mwenye Nguvu asiyeweza kufikiwa na mtu,uwezo na uadilifu wake ni mkuu,amejaa wema wala hapotoshi haki kamwe.
24. Kwa hiyo, watu wote humwogopa;yeye hamjali mtu yeyote mwenye kiburi.”