Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 37:2-6 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Sikilizeni ngurumo ya sauti ya Mungu,na mvumo wa sauti kutoka kinywani mwake.

3. Huufanya uenee chini ya mbingu yote,umeme wake huueneza pembe zote za dunia.

4. Ndipo sauti yake hunguruma,sauti ya Mungu hunguruma kwa faharina muda huo wote umeme humulikamulika.

5. Mungu hupiga radi ya ajabu kwa sauti yake,hufanya mambo makuu tusiyoweza kuyaelewa.

6. Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya nchi!’Na manyunyu na mvua, ‘Nyesha kwa nguvu.’

Kusoma sura kamili Yobu 37