1. “Kutokana na hayo, moyo wangu unatetemeka,na kuruka kutoka mahali pake.
2. Sikilizeni ngurumo ya sauti ya Mungu,na mvumo wa sauti kutoka kinywani mwake.
3. Huufanya uenee chini ya mbingu yote,umeme wake huueneza pembe zote za dunia.
4. Ndipo sauti yake hunguruma,sauti ya Mungu hunguruma kwa faharina muda huo wote umeme humulikamulika.