Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 35:15-16 Biblia Habari Njema (BHN)

15. Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake,wala hajali sana makosa ya watu,

16. Yobu unafungua mdomo kusema maneno matupu,unazidisha maneno bila akili.”

Kusoma sura kamili Yobu 35