Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 35:1-5 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Elihu akaendelea kusema:

2. “Je, Yobu, unaona jambo hili ni sawana kufikiri kinyume cha Mungu

3. ukiuliza: ‘Nimepata faida ganikama sikutenda dhambi?Nimefaidika kuliko kama ningalitenda dhambi?’

4. Mimi nitakujibu wewe,na rafiki zako pia.

5. Hebu zitazame mbingu!Tazama mawingu yaliyo juu kuliko wewe!

Kusoma sura kamili Yobu 35