1. Kisha Elihu akaendelea kusema:
2. “Je, Yobu, unaona jambo hili ni sawana kufikiri kinyume cha Mungu
3. ukiuliza: ‘Nimepata faida ganikama sikutenda dhambi?Nimefaidika kuliko kama ningalitenda dhambi?’
4. Mimi nitakujibu wewe,na rafiki zako pia.
5. Hebu zitazame mbingu!Tazama mawingu yaliyo juu kuliko wewe!